MAZAO BORA DAIMA

PATA MATOKEO MAKUBWA KWA KUTUMIA MBOLEA ASILIA ,VUNA ZAIDI NA ZAIDI

UKIWA NA MBOLEA HII

IJUE MBOLEA HII

Mbolea hii ni Kirutubisho bora asilia cha Mimea kisicho na kemikali ,Imetengenezwa kwa magome ya miti na kinyesi cha ndege,mbolea hii inasaidia uimarishaji wa mazao yako katika hali ya majira yoyote pia huongeza uzalishaji wa mazao kwa ubora wa hali ya juu, kwa kilimo chochote. Kirutubisho hichi ni asilia kina sifa kutoka kwa wakulima wote duniani ambacho kitaongeza mazao yako zaidi ya mara tatu ya unayoweza kupata kutoka kwa mbolea zingine za kemikali.

FAIDA CHACHE ZA KUTUMIA MBOLEA YETU KWENYE KILIMO

  • Inaongeza wingi wa mazao(Utavuna mara 2-3 ya ulicho kuwa unavuna mwanzo)

  • Inaongeza ubora wa mazao hivyo utapata mazao yenye (ukubwa mzuri,uzito,ladha na rangi nzuri)

  • Inaongeza unyevuunyevu shambani

  • Inakuza mimea kwa haraka

  • Itakupunguzia gharama za pembejeo

  • Mbolea hii pekee inatosha kwa kila lita 1 utachanganya na 1cc ya mbolea

  • Inarudisha rutuba asilia iliyopotea kwa kutumia mbolea za chumvichumvi

TAZAMA UFANISI WA MBOLEA HII ASILIA

UNATUMIAJE MBOLEA HII?

Kwa kila Lita 1 ya maji utachanganya na mbolea 1cc

Yaani kama pampu yako ina ujazo wa Lita 16 utachanganya na mbolea 16cc , kama ina Lita 20 utachanganya na mbolea 20cc

JE INATUMIKA MSIMU GANI?

INATUMIKA MISIMU YOTE

1.KIANGAZI (UTAPIGA MARA MOJA BAADA YA SIKU SABA

2.MASIKA ,UTAPIGA MARA MOJA BAADA YA SIKU 14

INAPATIKANA KWA GHARAMA GANI?

LEO NAKUPATIA PUNGUZO KUBWA KWA TSH 150,000 ,UTAJIPATIA LITA TANO YA MBOLEA YETU

INAPATIKANA KWA GHARAMA KIDOGO

Tunapatikana Moshi Mjini ,Mbolea hii utaipata popote pale ulipo ,tufanya delivery mikoa yote Tanzania

wasiliana nasi leo tukuhudumie

WEKA ODA YAKO LEO

DUMU LA LITA TANO ,UTAPATA KWA TSH 150,000/= TU

WEKA ODA MAPEMA MUDA UNAISHA

NAFASI ZA UWAKALA WA MBOLEA HII ZINAPATIKANA PIA

KAMA UNATAMANI KUWA WAKALA WA MBOLEA ,UNAKARIBISHWA

NAFASI BADO ZIPO WAHI MAPEMA ,MIKOA YOTE TANZANIA HUDUMA HII INAKUFIKIA

KUWA WAKALA WA BIDHAA HII UPATE FAIDA KUBWA BONYEZA BATANI NYEKUNDU

HAPO CHINI  πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

@MAZAO BORA DAIMA @2025

PIGA SIMU

0755880332